Search results

  1. H

    Electrical Engineer Graduate natafuta kazi

    Habari, Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu. Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:- 1. PLC programming...
  2. H

    Bado natafuta kazi ya ualimu

    Mimi ni kijana Mtanzania ninayeishi katika jiji la Dar es salaam, bado natafuta kazi ya kufundissha masomo ya PHYSICS na MATHEMATICS kwa level zote (form one mpaka form six). Mwenye uhitaji wa mwalimu wa masomo hayo au anajua sehemu ambayo wanaitaji naomba anisaidie kunipa taarifa. Natanguliza...
  3. H

    Natafuta kazi ya ualimu kwa masomo ya Physics na Mathematics

    Habari zenu wakuu. Natafuta kazi ya kufundisha Physics na Mathematics kuanzia form one mpaka form six, nipo Dar es salam namba zangu ni 0714953350.
Back
Top Bottom