Habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:-
1. PLC programming...
Mimi ni kijana Mtanzania ninayeishi katika jiji la Dar es salaam, bado natafuta kazi ya kufundissha masomo ya PHYSICS na MATHEMATICS kwa level zote (form one mpaka form six). Mwenye uhitaji wa mwalimu wa masomo hayo au anajua sehemu ambayo wanaitaji naomba anisaidie kunipa taarifa. Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.