makonda hana shida ila kuna watu wanakinyongo nae sana ingekuwa vzuri zaidi hata paspot zitolewe hata baada ya siku mbili mambo yaende chapu chapu ila kwa kufata utaratibu...mtoa maada kwani dar ndo nn hicho kitu inatakiwa kinamalizika mkoani
nakukumbuka nlshawahi kuwa mlinzi pale stendi ya magufuri mbezi kipindi inajengwa... sitosahau pesa ilikuwa inaisha kwenye chakula tu na hata haitoshi ktk mlo.. fight till the end brother..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.