Mbona kama nusu kwa nusu,alafu hacha udini Mungu mtoa riziki ni mmoja,pili wewe ukoje kimaisha ikiwa nawe no muislam na mwisho ukiomba orodha ya matajiri Duniani usipowaona utabadilisha dini yako au?[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hayo ni maendeleo ya technolojia,enzi za nyerere sio za Mwinyi,za Mwinyi sio za Mkapa na za Mkapa sio za Kikwete vile vile za Kikwete sio za Magu na Samia.Maendeleo huyazuii.Nchi zinakua kama ilivyo mimea na wanadamu.Uenda we ni la saba mtoka huko pwani.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums...
Udini unakusumbua pole sana,unachowaza akilini mwako haitatokea kuwa na aina moja ya Imani humu Duniani.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Tafuta CV yangu!! Huko kwenye vyama we ndo unakowaza,hatujengi hoja za kiitikadi uenda uliko ndo nilipo,huu mjadala ni huru kila mtu ana uhuru wa kuongea ,Nchi lazima iende haitabaki palepale tunachokataa ni kurudi tulikotoka.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hao ni corrupt!! Hatujui haki zetu kila ukiomba huduma ya kumfungiwa maji au kuunganishiwa umeme unabembeleza,Aisee hii Nchi ni shida tupu.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Nyie ndo mnaturudisha nyuma na mawazo mgando mnabakia kufikiria kasema kasema, Biashara ambayo haina mshindani unakosaje faida? Kila siku unapandisha gharama ya kumfungia mtu umeme kwelii!! Tumia akili yako vzr kung'amua mambo usibaki kasema kasema!
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums...
We uelewi,mita na nguzo ni mali za tanesco anakuwekea anaanza kukukamua milele,wanashindwaje biashara hii,mi natakiwa nilipie gharama hiyo 27,000 kuunganishiwa umeme alafu nifanye wiring n.k,vilivyobaki ni jukumu la tanesco waniwekee umeme nianze kununua .
Sent from my TECNO B1g using...
Hakuna aliye mkamilifu, mwendazake alikuwa anatimiza alichokiamini kuna tofauti kubwa sana na sasa, Viatu vyake itachua nusu karne tupate wa kuvivaa vikamtosha labda tumlete Pro Assad.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hivi huwa najiuliza Shirika ambalo halina mshindani/ lime monopoly biashara ya umeme Nchi nzima linashindwaje kupata faida na kuwa na gharama kubwa kama hizo kumuwekea mtu umeme!!!,Aisee Nchi hii bado sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Popote waweza kusali halimradi ni kanisa la kikristo maana kanisa bora ukisoma yakobo 2:29 utapata jibu na kanisa linaanzia rohoni mwako.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Jifunze utafiti, kilo moja ya vanilla mbichi huwezi uza kwa million moja kausha kilo 6-7 uuze kavu utapewa hiyo millioni,peleka Zanzibar au watafute Azam.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Nyie wore ni Nonsense mnataka mafanikio ya haraka!! Unamkatisha mwenzako ,you have research no Right to speak,wanavyosema kilo moja ya Vanilla ni tsh 1m ni sahihi kagoogle soko la vanilla Duniani utapewa bei,na soko kuu la vanilla linakuwa Zanzibar kwa East Africa, taarifa sahihi ni kwamba kilo...
Eti ni muda mrefu inakuumiza nini......[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2],bora umefafanua watu wajue
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Aliyeandika hii ana akili kabisaaaa,analeta sera za kukomoana sio kujenga mantiki,watu wanauliza tozo ilikuwa ya kujenga shule ,vituo vya Afya n.k mbona tunatumia hela ya mkopo wa COVID 19 ,tozo vp?[emoji38][emoji38] Ng'amua mambo hapo!!!
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Huyu ANAUMWA watu wana data za upande wa pili utakimbia ukiambiwa.Lakini kwa kuwa wewe ni mpuuzi na umefiliska kifikra kama wale wa mahakama ya kadhi na Sensa ya Mwaka 2012 kiwepo kifungu cha kuuliza dini ya Mtu.Uenda wewe ni maskini si wafikra tu bali hata kujikimu huwezi.
Sent from my TECNO...
Idea nzuri,niorodheshe nipo Dar 0624011463 tunatakiwa tukutane by January kikao cha wadau wa kwanza kuratibu mkakati huu,hii wenzetu wanafanya sana, mfano wafanyabiashara+ wastaafu hapa ndo wanatakiwa , twaweza kutengeneza kitu hapa cha historia na kutoka na kitu.Nitakupa mbinu.
Sent from my...
Nataka wa kuniunga na wateja wa maharage meupe,njano,rozi koko nauza kwa kutoa mikoani na kuleta Dar,oda za shule za bweni pia mwenye kuhitaji na pia biashara ya dagaa wa kukaangwa ninao nafikia Sinza maeneo ya vatican simu yangu ni 0624 011463
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.