Mungu tusaidie,labda niulze KTU hapo. Iktokea raia ana ugomvi na askari cku ukabahatika kumfuma akiwa ktk majukumu yake na ukamzaba makofi kadhaa kwa kuwa unamzidi mbavu...je hapo itakuwa Fulani kampga Fulani! Au Fulani Kampga askari....
MTAZAMO Bnafsi cjakuelewa,unapo hoji wap chadema km chama kikuu cha upinzan?nazan ungeanza kuwashaur watawala kuwa hiki ni chama pnzani kipewe nafasi ya kupumua kijnafasi.
Lakini wamebanwa kila kona kla wafanyacho kesho yake watahtajka police wkt polex2 na mucba wako huru kufanya...
Yaan me hata cjui wanabet kwa sh ngap Bali naona hadi wenye ajira na mishahara minono wana bet cjui kwa kwel na ctaki kujua maana kuna misamiati mingi nasikuaga Mara ods, point nk
Hizo siasa tu,jpm aliwahi kumcifia mbowe pale hai lkn kiualisia kla MTU unajua hawa watu walvyo....aliwahi kumcifia zito pale bungeni wkt ukawa wana toka nje,je zito yuko upande wa Lumumba...kwa hyo ucje shangaa mayor anashawishi watu wagome kwenda kufyeka bangi kwani hlo c jukumu lao....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.