Habari za leo wapendwa, baada ya kujuzwa faida ya mmea wa azola ulivyo na ufanisi na mkombozi kwa wafugaji, niliingia shambani kwa ajili ya kilimo na sasa mavuno yako tayari.
Kwa yeyote anayehitaji mbeguza azola kuanzia kilo moja hadi gunia kadhaa nomba anitafute kwa simu Namba 0624924930.pia...
Wakuu kwema?
Naomba mchango wenu juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studiesambayo inatolewa na chuo cha Tanzania institute of accountancy.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma, sasa mwaka huu napanga kwenda kujiendeleza kielimu, sasa kuna hii kozi je...
ushauri wa hovyo kabisa, yaani mtu ana form six aanze na certificate, au hata huelewi unashauri nini, EES maana yake anaweza soma diploma yoyote, kama ndivyo certificate ya nini?
Eee somo moja tu, lengo lilikuwa nipate alama za kunipeleka university, mtihani wa kwanza nina DEE, nilirudia somo moja nikapata C, hivyo nina CE, na CD
Acha kujificha kwenye kivuli cha mwanafunzi, ni wewe mwenyewe pepa limekukamata, pole sana , bado unayo nafasi, ungali bado materials ziko kichwani mwako, jisajili ufanye upya mtihani, japo somo mbili ili uwe na uwezo wa kwenda chuo kikuu, mimi nimemaliza six mwaka 2005, nilipata DEE, enzi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.