Wewe ndio Baba, ndio kiongozi na Mlezi Mkuu wa Familia. Kama ww ni Muislam na unaona kabisa kua mwanao anataka kubadilishwa dini, basi ujue unabeba jukumu kubwa sana kwa Mola wako na ujiandae kwa hilo. Usikubali mwanao aharibiwe dini yake na Akhera yake.
Mchukue Mtoto wako umlee kwenye Misingi...
Hivi ww unaelewa maana ya Hadithi na Maana ya Visa?
Hebu kwanza tofautisha kati ya Hadithi za Mtume(S.A.W) na Visa. Mimi nimezungumzia kisa sijazungumzia Hadithi.
Mkuu hapa umenukuu vibaya. kisa hicho kipo hivi, Ibilisi alijigeuza katika maumbile ya binadamu na alimfata Nabii mussa wakati anaenda kupokea kitabu cha "TAURAT", ibilisi akamwambia Nabii mussa kuwa Ukifika kwa mungu wako naomba umuulize kuwa, jee Mungu ataweza kunisamehe dhambi zangu ikiwa...
Hii ni sura ya 5 aya ya 78. ila kiukweli ukitaka kuwajua hawa watu wa Israel Soma sura hii ya 5 kuanzia aya ya 12 na kuendelea wameelezewa vizuri sana.
mm nimehangaika sana na mke wng miaka 5 ya ndoa. kila aina ya dawa zimetumika. mwisho tulienda TMJ Hospital tukakutana na Dokta Debora. na ww pamoja na huyo mumeo mungeenda maana yawezekana tatizo liko kwake. Wala msijali dawa zipo nyingi tu.
Pole sana Mkuu. Ila nakushauri muende Muhimbili(Wewe na Mkeo) omba kuonana na Gynecologist.
Pia pale TMJ yupo Gynecologist mzuri tu anaitwa Dr. Debora.
Kwa nn ukatubu kwa binaadamu mwenzako? Mungu yupo na anasamahe makosa yote tunayoyatenda. Kila mtu ni mtenda dhambi(ikiwemo huyo padri) so tunapaswa kutubu kwa muumba pekee sio kwa kiumbe mwenzako.
Huu ndio ukweli uliozungumzwa katika vitabu vya dini. Mimi nakusupport 100%.
Anaetaka ushahidi asome Quran (17: 04 -05)
Tafsiri.
4. Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi, kiburi kikubwa.
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.