Makamanda People's!
Kuanzia sasa kuna miaka 2 kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji, pia kuna miaka 3 kuelekea uchaguzi mkuu.
Nashauri yafuatayo yafanyiwe kazi;
(1) Mfumo wa ujenzi wa Misingi uboreshwe sana na usimamizi wake ufanyike ikiwezekana kuwe na kitengo ambacho si rasmi sana...
Nakala ya hukumu kwa wananchi wasomaji wa JF
KATIKA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA(MSAJILI KUU) JIJINI DAR ES SALAAM MENGINEYO SABABU NA. 16 YA 2022 HALIMA JAMES MDEE.......................................... .1 MWOMBAJI
GRACE VICTOR TENDEGA.....................................MWOMBAJI wa pili...
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.
Kwa mujibu wa Einstein kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale...
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari...
Alama za mnafiki ni 3;
1. Akiaminiwa haamniki
2. Akiahidi hatimizi
3. Mnafiki ni mwongo
Matokeo ya unafiki yamemfika sasa anaanza kulialia, kijana ovyo kabisa, ATAMKUMBUKA MWL KASUKU BILAGO aliyemuibua halafu akazamishwa na kijana kibichi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.