Ushauri kwa CHADEMA

Ss Jr

JF-Expert Member
Jan 15, 2018
577
450
Makamanda People's!
Kuanzia sasa kuna miaka 2 kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji, pia kuna miaka 3 kuelekea uchaguzi mkuu.
Nashauri yafuatayo yafanyiwe kazi;

(1) Mfumo wa ujenzi wa Misingi uboreshwe sana na usimamizi wake ufanyike ikiwezekana kuwe na kitengo ambacho si rasmi sana cha kuwepo Walezi wa Kata ambao watafanya ufuatiliaji kujiridhisha kama Misingi imeundwa kila Kitongoji.

(2) Kuwajua/kuwaandaa mapema watia nia watakaogombea nafasi mbalimbali kwenye Serikali za Mitaa ili kupata muda wa kuwapima uwezo wao na namna wanavyoshiriki kukijenga Chama.

(3) Kuwajua Mapema Watia nia watakaogombea Ubunge ili waweze kushiriki kwenye ujenzi wa Chama, pia wanachama wapate nafasi ya kuwafahamu mapema na kuwapima kuona nani anafaa kuwa Mgombea Ubunge mwaka 2025 katika Jimbo husika.

(3) Chama kitafute kila mbinu kuhakikisha kinawasapoti kwa kiasi cha fedha wagombea wakati wa uchaguzi.
Huko tuendako kuna kila dalili za kutokupata Wagombea wengi Ngazi za chini hususani Wagombea Uwenyeviti wa Vijij/Mitaa na Wagombea Udiwani kutokana na Chama kuwatelekeza.

(4) Kuweka utaratibu mzuri na rahisi wa kusajili Wanachama (Chadema Digital) kwa kuhakikisha kila Jimbo/Wilaya kunakuwa na Mtambo (Mashine) wa kutengeneza kadi za kielekitroniki, vinginevyo zoezi litakuwa gumu maana hata wale waliojisajili na kulipa Ada za Uanachama kwa kiasi kikubwa hawajapata kadi zao kutokana na mashine hizo kupatikana ngazi za Kanda.
Jambo hilo linadumaza mchakato wa usajili wa kielekitroniki (Chadema Digital).

(5) Chama kione umhimu wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima kwa kuvunja uongozi wa KANDA ambao kimsingi kazi yake haionekani.
Maafisa wa Kanda wamepewa usafiri, wanalipwa na kazi hawafanyi, fedha zinazotumika kwenye Kanda zingeshuka chini kujenga Misingi Chama kingekuwa mbali sana.

Nawasilisha.
 
Makamanda People's!
Kuanzia sasa kuna miaka 2 kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji, pia kuna miaka 3 kuelekea uchaguzi mkuu.
Nashauri yafuatayo yafanyiwe kazi;

(1) Mfumo wa ujenzi wa Misingi uboreshwe sana na usimamizi wake ufanyike ikiwezekana kuwe na kitengo ambacho si rasmi sana cha kuwepo Walezi wa Kata ambao watafanya ufuatiliaji kujiridhisha kama Misingi imeundwa kila Kitongoji.

(2) Kuwajua/kuwaandaa mapema watia nia watakaogombea nafasi mbalimbali kwenye Serikali za Mitaa ili kupata muda wa kuwapima uwezo wao na namna wanavyoshiriki kukijenga Chama.

(3) Kuwajua Mapema Watia nia watakaogombea Ubunge ili waweze kushiriki kwenye ujenzi wa Chama, pia wanachama wapate nafasi ya kuwafahamu mapema na kuwapima kuona nani anafaa kuwa Mgombea Ubunge mwaka 2025 katika Jimbo husika.

(3) Chama kitafute kila mbinu kuhakikisha kinawasapoti kwa kiasi cha fedha wagombea wakati wa uchaguzi.
Huko tuendako kuna kila dalili za kutokupata Wagombea wengi Ngazi za chini hususani Wagombea Uwenyeviti wa Vijij/Mitaa na Wagombea Udiwani kutokana na Chama kuwatelekeza.

(4) Kuweka utaratibu mzuri na rahisi wa kusajili Wanachama (Chadema Digital) kwa kuhakikisha kila Jimbo/Wilaya kunakuwa na Mtambo (Mashine) wa kutengeneza kadi za kielekitroniki, vinginevyo zoezi litakuwa gumu maana hata wale waliojisajili na kulipa Ada za Uanachama kwa kiasi kikubwa hawajapata kadi zao kutokana na mashine hizo kupatikana ngazi za Kanda.
Jambo hilo linadumaza mchakato wa usajili wa kielekitroniki (Chadema Digital).

(5) Chama kione umhimu wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima kwa kuvunja uongozi wa KANDA ambao kimsingi kazi yake haionekani.
Maafisa wa Kanda wamepewa usafiri, wanalipwa na kazi hawafanyi, fedha zinazotumika kwenye Kanda zingeshuka chini kujenga Misingi Chama kingekuwa mbali sana.

Nawasilisha.
Changamoto ya 2020 imetatuliwa?

Sanduku la kura LILIIBWA 2020 limerudishwa?

CDM acheni kupandisha homa ya uchaguzi batili.

Agenda kuu ni No KATIBA mpya, NO UCHAGUZI wowote.

Msiyumbe kama walevi😠😠😠😠😠

Ameeeeen.
 
Makamanda People's!
Kuanzia sasa kuna miaka 2 kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji, pia kuna miaka 3 kuelekea uchaguzi mkuu.
Nashauri yafuatayo yafanyiwe kazi;

(1) Mfumo wa ujenzi wa Misingi uboreshwe sana na usimamizi wake ufanyike ikiwezekana kuwe na kitengo ambacho si rasmi sana cha kuwepo Walezi wa Kata ambao watafanya ufuatiliaji kujiridhisha kama Misingi imeundwa kila Kitongoji.

(2) Kuwajua/kuwaandaa mapema watia nia watakaogombea nafasi mbalimbali kwenye Serikali za Mitaa ili kupata muda wa kuwapima uwezo wao na namna wanavyoshiriki kukijenga Chama.

(3) Kuwajua Mapema Watia nia watakaogombea Ubunge ili waweze kushiriki kwenye ujenzi wa Chama, pia wanachama wapate nafasi ya kuwafahamu mapema na kuwapima kuona nani anafaa kuwa Mgombea Ubunge mwaka 2025 katika Jimbo husika.

(3) Chama kitafute kila mbinu kuhakikisha kinawasapoti kwa kiasi cha fedha wagombea wakati wa uchaguzi.
Huko tuendako kuna kila dalili za kutokupata Wagombea wengi Ngazi za chini hususani Wagombea Uwenyeviti wa Vijij/Mitaa na Wagombea Udiwani kutokana na Chama kuwatelekeza.

(4) Kuweka utaratibu mzuri na rahisi wa kusajili Wanachama (Chadema Digital) kwa kuhakikisha kila Jimbo/Wilaya kunakuwa na Mtambo (Mashine) wa kutengeneza kadi za kielekitroniki, vinginevyo zoezi litakuwa gumu maana hata wale waliojisajili na kulipa Ada za Uanachama kwa kiasi kikubwa hawajapata kadi zao kutokana na mashine hizo kupatikana ngazi za Kanda.
Jambo hilo linadumaza mchakato wa usajili wa kielekitroniki (Chadema Digital).

(5) Chama kione umhimu wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima kwa kuvunja uongozi wa KANDA ambao kimsingi kazi yake haionekani.
Maafisa wa Kanda wamepewa usafiri, wanalipwa na kazi hawafanyi, fedha zinazotumika kwenye Kanda zingeshuka chini kujenga Misingi Chama kingekuwa mbali sana.

Nawasilisha.
Makamanda People's!
Kuanzia sasa kuna miaka 2 kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Vijiji, pia kuna miaka 3 kuelekea uchaguzi mkuu.
Nashauri yafuatayo yafanyiwe kazi;

(1) Mfumo wa ujenzi wa Misingi uboreshwe sana na usimamizi wake ufanyike ikiwezekana kuwe na kitengo ambacho si rasmi sana cha kuwepo Walezi wa Kata ambao watafanya ufuatiliaji kujiridhisha kama Misingi imeundwa kila Kitongoji.

(2) Kuwajua/kuwaandaa mapema watia nia watakaogombea nafasi mbalimbali kwenye Serikali za Mitaa ili kupata muda wa kuwapima uwezo wao na namna wanavyoshiriki kukijenga Chama.

(3) Kuwajua Mapema Watia nia watakaogombea Ubunge ili waweze kushiriki kwenye ujenzi wa Chama, pia wanachama wapate nafasi ya kuwafahamu mapema na kuwapima kuona nani anafaa kuwa Mgombea Ubunge mwaka 2025 katika Jimbo husika.

(3) Chama kitafute kila mbinu kuhakikisha kinawasapoti kwa kiasi cha fedha wagombea wakati wa uchaguzi.
Huko tuendako kuna kila dalili za kutokupata Wagombea wengi Ngazi za chini hususani Wagombea Uwenyeviti wa Vijij/Mitaa na Wagombea Udiwani kutokana na Chama kuwatelekeza.

(4) Kuweka utaratibu mzuri na rahisi wa kusajili Wanachama (Chadema Digital) kwa kuhakikisha kila Jimbo/Wilaya kunakuwa na Mtambo (Mashine) wa kutengeneza kadi za kielekitroniki, vinginevyo zoezi litakuwa gumu maana hata wale waliojisajili na kulipa Ada za Uanachama kwa kiasi kikubwa hawajapata kadi zao kutokana na mashine hizo kupatikana ngazi za Kanda.
Jambo hilo linadumaza mchakato wa usajili wa kielekitroniki (Chadema Digital).

(5) Chama kione umhimu wa kupunguza gharama zisizokuwa za lazima kwa kuvunja uongozi wa KANDA ambao kimsingi kazi yake haionekani.
Maafisa wa Kanda wamepewa usafiri, wanalipwa na kazi hawafanyi, fedha zinazotumika kwenye Kanda zingeshuka chini kujenga Misingi Chama kingekuwa mbali sana.

Nawasilisha.
Nakubaliana na no1, but 2 mpaka 4 chadema aina shida ya kuwapata wagombea hata Kama uchaguzi ni kesho,
NOTE .mpaka Sasa msimamo wa chama na wapenda haki ni Kwamba hakuna katiba hakuna uchaguzi
No 5 : unataka kuingiza chama chaka, wewe wenda huoni umuhim wa viongozi wa kanda ,ila elewa chama nilisha FANYA ug'atuzi wa madaraka TOKA HQ , so ukivunja uongonzi wa kanda ina maana hakuna kanda, na KWa maana Iyo chama kifenye reform tena? hii point YAKO haina mashiko
 
Back
Top Bottom