Kama ni kurudi kijijini vijiji viko vingi sana Tanzania ukisogea vijiji vya mbalali kuanzia mwezi wa kwanza mpaka wa tatu hukosi laki tatu kwa mwezi na zaidi cha msingi usiwe mvivu.piga kazi huko mashambani watu wanaweka CPA zao mfukoni elimu kichwani
Jipe angalau miaka 10 ,usirukeruke kama kitenesi unajaribu aina nyingine ya biashara kila baada ya miaka 2 hapo sahau kutoboa.komaa na biashara moja tena sio 10 hiyo min jipe hata 20 yrs.
Mkuu unafanya nini!!!!! Mimi nina take home mara tatu ya kwako na kamwe siwezi lipa rent hiyo na nina watoto watatu pia.unahifadhi chochote kweli.wewe kwa mshahara huo rent haitakiwi kuzidi laki 2
Nilikua najenga ghorofa nimemaliza slab hela ikakata na kazi nikafukuzwa ikabidi nihamie hivo hivo.
Changamoto mvua ilikua ikinyesha maji yanaingia ndani, mwezi wa sita mpaka wa nane nakoma kwa upepo na baridi kali.watoto mafua hayaishi mana linapenya hasa. Mungu si athumani nilikaa kwa jinsi...
Habari wana jamvi huu uzi umenisaidia sana na kunipa hamasa ya kutafuta maisha nje ya nchi.Kiufupi nimeanza mchakato rasmi wa kwenda Canada
Tutapeana mrejesho mambo yakienda sawa.Ee Mungu nisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.