Mamangu hataki kuonana king'amuzi Cha DSTV sababu hakuzoea filamu za kiswahili kama hizo. Ndio maana filamu za Azam za kituruki zitabaki kua family friendly daima.
Hapa nimeona Uzi huu nimetamani kwenda kibamba kula mbuzi. Nasubiri details zaidi Ili Leo niende. Nimepumzika bia kwahiyo weekend yangu hua naspend kutembea tu Ili nisipate arosto
Utapata layman kwenye graphics,utafute learner jobless ndio atakubali kazi hiyo. Yaani graphic na afanye marketing?kweli? Kweli? Haupo serious.
Sema watu wandharau Sana graphics design mpaka siku akiwa na shida ya professional graphic design ndio ukiambiwa bei unashangaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.