[emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji255][emoji255]asante mkuu japo hizo sifa hapo juu mmmmh wa kawaida sana;Mi ni ke wala hujakosea na nidada wa makamo [emoji4]hvyo unaeza kuwa mdgo wangu kabisa xo heshima yangu mkuu!!
Khaa[emoji24][emoji24][emoji30][emoji30]williamson imebaki story Tu jmn RIP REGEND
japo tulikuwa wadogo ila history haipotei dah!!sasa kumebaki kama nyumba za kwenye Mkonge[emoji24][emoji24]
Ila baridi lina raha yake jmn kuliko joto kama la kanda ya kati ule ukame na lile jua mara mia baridi linazuilika joto unaeza lia au kutembea mtupu napapenda sana nyanda za juu kusini;chuga;Moshi;lushoto yaani hali ya hewa ni burudani tupu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.