Itatokana na umemuua katika mazingira gani,endapo ulimuua on the spot baada tu ya kumfumania iyo mahakamani ita be considered kwamba ulikua na hasira so sio dhamira yako bali ni hali ya hasira,so unaweza kufikiriwa itatokana na kesi ipoje,but kama ulifanya kitendo hicho baada ya kufumania,basi...
Hey! haya mambo kwe2 bongo si sawa na US ambako sheria zao kidogo zipo vizuri sana,but hapa kwetu sheria imespecify baadhi ya mapato ambayo hayakatwi kodi ikiwemo kipato cha raisi,ukiicheki sheria yetu...
Bishanga huelewi maana ya "choka mbaya" hujaelewa na maana ya "avarage",kuchoka haimaanishi umepitia mambo mengi kiasi kipi, kibongobongo most of girls katika miaka hiyo huwa ni choka mbaya,time hizo upande wa titiz tayari zishapigwa jeki sana n.k,utatetea sana hoja yako but ukweli ndo huo
Kama kawaida nimesikia wanaharakati wa UDSM wamesema mpaka tarehe 1/10/2011,endapo BOOM halitaingia basi pale chuoni patageuka LIBYA,kauli yao ni "Maboko jiandae tupo kwenye basi la kutoka TARIME ndo tunakuja ni trafki ametuchelewesha kidogo"
mimi watu kama hawa huwa siwajadiri bila kujua level yao ya elimu,so mwanaJF yeyote alie na CV yake au anaejua level ya elimu yake basi anitumie kwenye email hii: paulchengula@gmail.com, coz unaweza ukamtoa kasoro kwa pumba zake kumbe unamuonea,ila nadhani atakua ni darasa la pili B,coz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.