Wewe mtoa mada ni kabila gani, maana staili uliyoandikia ni ile hasa uitamkayo.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app
Mbona naona hiyo nembo imeandikwa " chigo" au ndio jina mbadala na tronic. Anyway mimi sio fundi umeme subiri waje watuelekeze Ndugu.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Mara nyingi nikiamua kulala kwenye hotel nachagua nje ya mji, katikati ya mji kama una hasira ya karibu utakua una tukana usiku mzima kwa kukosa usingizi kunakotokana na back fire za exzost za hizo pikipiki
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Hata kama mimi ningekua hao tembo, ningefanya hivyo hivyo, najua sheria zinanikinga, kwa ujumla ni ujinga wao....
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Mleta mada huo ukaribu unao usema unapatikana huko, uwanja wa fisi, tandale kwa mwajuma ndala ndefu, na goba kwa Halima peku peku, na sehemu nyingi kama hizo
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Piga picha popote, hata kwenye nyumba za nyasi, sisi wanyausi tupo kwa ajili ya kuperuzi na kudadisi.....[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Tatizo DSTV wanarudia rudia sana movies, halafu za long time, unalipia 59 halafu unaangalia movies hizo hizo , unalipia mwezi unaofuata unakutana na zile zile. Yaani ni muda nimeweka DSTV movies mpaka leo wanazirudia. Kwa wapenzi wa action movies, tunaboreka kinoma
Kwa mimi huyo wanitengee kwa ajili ya salamu tu, kujuliana hali, wa pili anaendelea kuiva jikoni kama huyo huyo. Ndio tujue kifuatacho ITV...[emoji41][emoji41][emoji41]
Hapana, alisema kaachiwa urithi na baba ake, ambazo ni usd milioni kadhaa, kwamba Baba yake alikua na wadhifa mkubwa huko Rwanda. Kwa hiyo kachoka kuishi Ghana kwa bahati akapata e mail yangu kwa hiyo anaomba niwe muaminifu. Nifanye mpango wa kumuamishia Bongo ili niishi nae. Lakini nifuatilie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.