Mkuu, huyu jamaa ni rafiki wa karibu sana na RA pia nae ni mfadhili wa JK na CCM kwa ujumla jamaa wa madini wanamfahamu.
Mulla ni mwezeshaji wa mipango yote ya kifisafi TZ na nchi za uarabuni... ok kwenye hili sakata atakuwa ndio kinara ofcourse wizara ya fedha, madini na utalii ndio wanamfahamu...
Mbona afya yake inaonekana mgogoro kila siku! anyway nijuavyo atazidua ya CUF zen kesho ama jioni yake anaeda ya CCM maana wapo kwenye NDOA moja.
al the best
kwenye Red PL hukusoma? primes zinatofautiana na conclusion pole sana jipange uje upya bila kutumia masaburi yako kuwaza na kuandika..
CCM-B a.k.a. magamba B hamna lolote.
Serikalikari inataka Kuibaka demokrasia... . hizo ndio siasa za majitaka now days magamba na media zao wanatumia Masaburi type kuwaza sijui kama tutafiaka kwa vyovyote vile PM anahusika kutupeleka huko!
wakuu! waziri wa A.Mashariki Mh. Samweli Six wakati wa kuhitimisha hoja yake bungeni jioni hii, amesema vijana wa kitanzania wanawaza FIESTA, hawafahamu computer.. pia ma secretary hawajui kutembea, pia mabinti wa tanzania ukimgusa tu anakuwa mkali wakati wa Kenya ni wachangamfu, wanaomba email...
Waache wale rushwa bana tz is free corruption zone hao kina chenge, rostam, lowasa, kalamagi, sitta, jk na mafisadi wote wanakula na kupiga michongo daily hakuna hatua sembuse trafic? Jairo
pole mkuu nawewe utapata tu hata mh. Wenje anafahamu hivyo
Mkuu mbona mambo kibao mpaka chadema tuseme ndio wao wafuate Mkuu bado hujatambua kama CCM inatekeleza ILABNI ya CDM ila kwa bahati mbaya hawawizi kuitekeleza wala achana na sera ya Elim
-MZIKI wa katiba mpya? haikuwepo kwenye ilani yao.
-mafisadi- wao wanawaita magamba
-
-
-
RIP
Ok nimepata taarifa huyo meya Mh. Manya alishinda kwa kura moja zaidi ya mgombea wa chadema,
kifupi hiyo kata ni ngome ya chadema hata mwaka jana uchaguzi mkuu Dr.slaa alihutubia na kuhitimishia kata hiyo kampeni zake
na kisha kwenda mbeya kwa sugu. ofcourse Chadema watachukua kata hiyo no way
Job alivaa kiatu kisiwokuwa chake, anyway CCM mpaka sasa hawana mtu wa kumweka apambane na Tundu kwa huja yoyote ile.
kama huyo simbachawene ndi kabisa, makinda mdio...., lukuvi ndio angejichanganya onyo ofcoz TUNDU kazeni buti hii ndio tanzania tunaoitaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.