mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
katibu mkuu wa cuf na makamu wa kwanza wa Rais wa zanzibar ndie anayetarajiwa kufungua kampeni za chama hicho katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo mjini igunga. taarifa kwa wanajf.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katibu mkuu wa cuf na makamu wa kwanza wa Rais wa zanzibar ndie anayetarajiwa kufungua kampeni za chama hicho katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo mjini igunga. taarifa kwa wanajf.
Duh....sasa anakampenia chama kipi maana yeye ni makamu wa Rais....Rais ni CCM
sharif ni mwanasiasa pekee aliyebaki baada ya nyerere ana ni kisima cha busara na hekima na mwenye upeo mkubwa wa kuona mbali.
Mbona afya yake inaonekana mgogoro kila siku! anyway nijuavyo atazidua ya CUF zen kesho ama jioni yake anaeda ya CCM maana wapo kwenye NDOA moja.
al the best
yaani peponi.Igunga cdm lazma ishinde coz maendeleo yaliyopo hayalingani na miaka 50 uhuru cdd pekee ndiyo itakayo tupeleka kwenye bustan ya heli.
Inashangaza sana Maalim Seif amabaye anahubiri kujitenga kwa Zanzibar leo anakuja bara kupiga kampeni za CUF.. wakati huyo huyo Seif kaingia muafaka na CCM bila kuwahusisha viongozi na wanachama wa CUF bara.. Hizi ni silaha kubwa za kumbomoa Seif Kisiasa kwa sababu ni mnafiki na hakuna sababu ya kkufunika kombe..
Maalim Seif busara kwake pekee ilikuwa ni kuukwaa uongozi wowote wa kitaifa na kesha upata sasa busara zake ziko wapi ? Na je ataingia na misafara kama ma CCM kwa pesa zetu ? Maana ni Makamu wa Rais wa Zanzibar na je bara ana title gani kwenye muungano ?Maana akiwa bara ni Katibu mkuu wa CUF sasa atatumia magari yetu na pesa zetu pale Igunga ?Hebu nipeni shule juu ya hili