Umeongea kitu kikubwa sana,kwasasa tunaona umuhimu wa kuondoka kwake Mkuu.
Nje ya mada; Amesema Nabii sio Nabi wale wa upande wa pili msiogope ku-comment. Ahahahaaaa.
Baadhi ya wanawake wana roho mbaya sana hasa wanapotaka kuonewa huruma,yupo tayari kutoa machozi na akijua anaongea uongo,unaweza kukuta jamaa ni mumewe kabisa ila katoa maelezo hayo ili kikombe kumuepuke,siku jamaa akipatikana utasikia maelezo yake yanaweza kua tofauti na haya. Bahati mbaya...
Kwa upande wangu naona wabunge wengi hawana msaada kwa taifa zaidi ya matumbo yao. 80% wanapiga porojo tu bungeni badala ya kuisimamia serikali. Nyinyi CCM(kama ulivyojitambulisha), tumieni akili vizuri uchaguzi ujao ila sio kuiba kura. Kura zikiibiwa yataibuka kama haya yaliopo tena.
Sometimes sio nzuri,mali ya watoto wako inaweza kupotea kizembe kwasababu tu hakuna anaejua ilipo. Mfano ikitokea umekufa nani atakaejua kama baba/mama yao alikua na mali kisiri,matokeo yake watoto wanageuka ombaomba wakati wangeweza kuishi vizuri tu. Kumbuka ukifa ndugu zako sio rahisi kuwajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.