Mkataba huvunjwa na pande mbili za mkataba Tff sio miongoni mwao.pili hill shauri lilikwisha sikilizwa na uamuzi ukatolewa.high of Fei na wanasheria wake wa kuokoteza walitakiwa kurudi Yanga kupata muafaka au kwenda CA's.Yanga imetumia busara ambayo fei na mawakili wake hawana Kwa mujibu wa...
Nimempenda mwakinyo na mgt yake yeye ni professional boxers sio bondia wa mtaani. Atakuja kupatapambano moja tu na kutoboa.babutale asilete mambo ya mtaani
Mimi sio mwanasheria kesi ikisikilizwa kwa maandishi parties hawaendi mahakamani hivyo hiyo kesi haiwezi kuwa kwenye cause list. Nina uzoefu wa mahakamani miaka 20.
Kwa hiyo ktk kupeleka hoja kimaandishi parties wanapewa timeline lini wapeleke hoja zao na mwisho hukumu itatolewa, manunu fc...
Unajua kwanini rais wa TFF alikuwa mbogo hivi karibuni na kuonyesha kuwa nafasi alikuwa nayo haiwezi. Shirikisho limejaa utelembwe manunu fc symphasizer. Maamuzi yao ni kuumiza timu fulani. Oo yanga wanaiongopa simba mbona mnahangaika kuwafunga gwambina?sema sababu ya kuahirisha one of the best...
Maneno mengi bila hoja tunataka sababu ya kuhairisha mechi wakati mashabiki wapo uwanjani. Simba ndio uliogopa kuleta timu baada ya mganga wenu kuwambia mtafungwa. Mkaenda kwa kiongozi wa serekali ambaye ni shabiki wenu akatoa amri mechi ihairishwe.Na simba ilikuwa jua mechi haitachezwa yanga...
Tatizo ni mfumo mbovu wa uendeshaji mpira tanzania sio tff wala wizara inayoonyesha njia.hata simba mo akijitoa hali itakuwa tete.timu ya wananchi itaendelea kuwepo itabiki kuwa juu itabaki kileleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika matatizo ya arsenal Wenger alikuwa part kwani kwenye wage bill arsenal kama mwaka juzi walikuwa kwenye level moja na Chelsea.tuna wachezaji wa kawaida wanalipwa mishahara mikubwa
Haa haaa mimi kuna demu wa kichanga nilikutana nae akanitolea nje kuwa mimi sio mchanga . Nasdaq ya mwaka tukakutana kwenye harusi ya ndugu yake na mimi natambulisha kama bosi wa shemeji yake alikuwa mdogo kama piliton.pembeni niko na mtoto mkaleee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.