Namuona na tb joshua anawapiga viongozi wa Africa za macho especially Mwigulu kuhusu ushiriki wa viongozi kutengeneza crisis katika nchi zao kuwa 2015 watasababisha mtafaruku mkubea lkn hawata cross 2016.
Anaomba watu waambiwe wa withdraw from evil.
Watu kuchanganya siasa na dini, mungu...
Elimu ya darasani ingekuwa ndio mafanikio ya mtu au nchi basi tungekuwa mbali sana..... elimu kubwa kuliko na effective ni ya mitaani.... mengine mbwembwe tu!
Mh hii kubwa kuliko.... lakini ni muhimu sana ww mwenyewe kwenye vigezo vyako uvipe marks na kile chenye nyingi ndio kiwe muongozo wa uchaguzi wako. Mm kuna rafiki yangu yeye anapenda sana love making kwahiyo alipotaste kwa ambaye sasa ni mume wake akaona iko mwake , they got married 3years now...
Hii topic ni ya kweli lkn akili mkichwa kwa wanaume Kujua jinsi ya kufika kileleni na mpenzio. Sio wewe kumaliza mwenzio ukamwacha njiani, haifai. Gonga kwa step mnamaliza pamoja na wote mnapata muda wa kupumzika in preparation for the next round.
SEREKALI haipo tayari kukabidhi madaraka kwa amani. Hili ni tatizo la msingi. Kibaya sana waliokabidhiwa hili jukumu la kulazimisha kubakia madarakani, akili zao ndogo na kubwa zaidi wanao onewa MUNGU yuko upande wao. Hakuna watakacho panga na kufanya kisijulikane. MWISHO NI AIBU KUBWA. TUSUBIRI.
Taste and flavour inaendana na mabadiliko ya mazingira pia hata mengine yakiwa hatarishi, its part and parcel ya kuburudika na kuhuisha (ku-renew) mahusiano. Unayefikiri palipo sawa ni kitandani tuu kuwa ukayaone!
Jamaa yangu haya maelezo yako sio ya mtu anayeishi tanzania ya leo, au kuwa more specific wapeleke Polisi ya Interpol au hii hii ya kubadilisha cocaine kuwa chaguo la mama.....?????
Kuna watu hayajawakuta ndio maana povu jingi. Siku ukifikwa na uhitaji ndio utatia akili na kuona tofauti ya hao watumishi. Kila mmoja ana nguvu yake. Kwasasa kuweka kijumla jumla kuwa popote MUNGU yupo na anafanya kazi ile ile ni uongo. Upako na usafi wa kila mtumishi/padre..... matters a lot...
Ivi si ni huyuhuyu Kagame akiyesema apewe bandari ya Daresalamu pekee atailisha na kuitegemeza Rwanda na Tz........???!!!! Tukiwa tunaendelea kuchangia embu tutafakari na hili pia....
Mnapotosha maana. Tb Joshua angekuwa hata Namanyere watu wangemfuata, hapa swala sio mtu au mahali bali upako alionao mtu. Hata mimi nilikuwa kinyume nae sana lakini baada ya kufuatilia, namkubali.
Mfuatilie na pia kaa na mtu aliyeawahi kwenda mbadilishane mawazo kabla ya vijembe.
Hapa jamaa walikuwa wanafurahia nini? Cheki mama aliyekaa chini anavyosubiria kwa kicheko...... but their dayz are numbered, namba ya Wadanganyika inapungua kwa kasi ya kimondo
Haujafa, haujaumbika! wewe unaye sema vibaya kuhusu watu kutafuta huduma ya uponyaji, haujafikwa na jambo. Wako watu wamezunguka sana bila mafanikio au wanapata mafanikio ya muda mfupi na mambo yanarudi kuwa mabaya zaidi.
Kwa mtu wa Imani, sikulazimishi, ila chukua hili leo litakusaidia...
Huyu mzee mshauri wake anampotosha sana. Katika mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya kabisa ni ya kunyoosheana vidole. Nafikiri watu wengi bado wanakumbuka issue ya RICHMOND alivyoimaliza kimbulula kwa uoga wa kutupwa nje kwenye uchaguzi wa 2010. Hekima ingekuwa kujijenga bila kuwashutumu wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.