Shida zipo
Mkuu, Nina changamoto, picha ya mdhamini iliyopo Ni ya mwanamke na mdhamini Ni mwanaume, mbaya zaidi nishaprint form, nafanyaje ili kubadilisha picha?
Nchi hii umma usipotoka usingizini tutaendelea kuibiwa mpaka Basi, mahakama na bunge vinatumika kusafisha ufisadi wa kulipa watu wasio na vyama bungeni.Dhambi hii itaendelea kuumiza taifa letu daima
Mpaka Sasa kinachoendelea Ni uvunjaji wa katiba na Sheria, tangu lini ukihukumiwa kwenda jela, ukakata rufaa unatolewa bila hukumu kusikilizwa? Hili bunge limepoteza dira Bora livunjwe tu
Kuwalipa kina Mdee Ni kuhalalisha matumizi mabaya ya pesa za umma. Ule Ni zaidi ya ufisadi.Mahakama inapotumika kulinda wizi na uvunjaji wa taratibu inaumiza sana
Nchi hii uzalendo bado Sana, kuvunja katiba ya nchi Ni kosa kubwa Sana, nchi zingine kesho asubuhi bunge lingeshazungukwa na umma kuzuia wabunge feki kuzama mjengoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.