Sipendi kweli kuona mtu anaua nyoka ama mnyama yoyote niseme ukweli,ila pia silaumu mana ni sehu moja wapo ya kujiahami na hatuna utamaduni wa kuwa na taasisi za haraka za kukamata viumbe hawa pale wabainikapo wapo katika makazi ya watu. Hakuna njia rahis ya kukinga nyumba yako mbali na...
Mkuu kweli hili tatizo lipo kwa wingi sana kipindi hiki. Moja ya mambo yasababishayo ni kama yafuatayo;
1/kurithi
2/upungufu wa homoni inayohusika na ukuaji wa nywele
3/stress
4/upungufu wa madini chuma mwilini
5/matatizo kwenye tezi ya thyroids
6/upungufu wa protein na hamirojo...
Ilishawah nitokea hiyo hali mo thn 4 ama 5 times. Niliishuhudia tu mwenyew kila kikitokea nakumbuka hili lishawah kutokea. Ila moja ilikuwa kubwa kuliko nhadi ikapelekea nipate mfedheheko na kujiona labda nina tatizo la kichwa.. Nina rafiki mmoja tu nnae mwamini na kushauriana nae kwenye mambo...
Hyo nyimbo inaitwa FREEMASON/WAJENZI HURU. One of my favourite song of AT. Kikubwa kilicho wakutanisha hawa RAIA watatu ilikuwa ki fast spreading ya maneno kwamba mason ndiyo inayowapa chapaa na siyo kipaj chao halisi. HIVYO WALIAMUA KUJIBU HUMO kwenye hyo ngoma.>>>> refers 1/RICK ROSS- Free...
Tatizo kwenye mitandao wanasomaga mabaya tu na kuyafanyia kazi lakin KAMWE HAWASOMI MAZUR MAANA YATAWAHARIBIA RATIBA ZAO.Tulishasema kwamba MH MKUU WA MKOA AMEKOSEA SANA kwasababu hakuzingatia taratibu ikaonekana kama tusemao hivi nasi tunakesi kwake. SIMBA AKILA NYAMA YA BINADAMU HAACHI
Mheshimiwa ukishasema tanzania maana yake ni tanganyika na zanzibar. Rejea kusoma UNION AND NON UNION MATTERS nadhani utapambanua vuzur zaid. Ila pia naona kama unanileta kwenye suala la serikali tatu hivi!!??? MI HUKO SIMOOOOOOO
Usimtukane wala kumdharau usiyemjua/aliyeomba msaada. Ndugu yangu,tanganyika ipo. Ila linapokuja jambo la muungano tunakuwa ni TANZANIA. Wamejiita TLS kwasababu kula upande wa zanzibar wao wana ZLS. Ila kama ingekuwa taasisi ni moja tu basi tungetumia TANZANIA LAW SOCIETY. Ni hayo tu mheshimiwa!!.
Hivi jamani hadi leo hatujazoea hizi political games?? HAKIKA NAWAAMBIA HII NI KUTOANA KWENYE RELI TU. Ukiona imefumka kiki kubwa,BASI JUA KUNA JAMBO KUBWA SANA LA KITAIFA NA HAWATAKI WANANCHI TUFAHAMU. Sometimes naimis sana ile JF ya zamani,THE REAL GREATE THINKERS bt nt for nwdays. Tutumie...
Hawatabiriki hao wasanii,hata maisha yao yakisanii sanii tu. UNAEZA SHANGAA BADALA YA KUWATAJA AKAJA SEMA ANAHAMIA CCM.. Tuwaacheni tu na matumbo yao bhana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.