2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,059
Hapa nchini hatuna Nchi inayoitwa Tanganyika. Kwa sababu ambazo ni Classified Tanganyika ilipotea kimagirini magirini.
Lakini leo kipo chama cha mawakili wa Tanganyika. Hawa wana wakilisha Eneo lipi ambalo kikatiba linatambulika?.
Msiseme nimeumizwa kwa Fatma Karume kushinda Uraisi wa TLS. Najihami mapema ohooo.
Lakini leo kipo chama cha mawakili wa Tanganyika. Hawa wana wakilisha Eneo lipi ambalo kikatiba linatambulika?.
Msiseme nimeumizwa kwa Fatma Karume kushinda Uraisi wa TLS. Najihami mapema ohooo.