Kuhusu kupatwa kwa jua ata Biblia imeeleza,,labda mtoa mada hupendelei kusoma Biblia
. Yoeli 2:30
. Nami nitaonyesha mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia, damu, na moto, na minara ya moshi.
Yoeli 2:31
. Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla haijaja hiyo siku ya Bwana...
*JE, YESU NI MWANA WA MUNGU?*♂
Hilo☝ ni swali ambalo linawasumbua watu wengi sana hasa wale wenye imani tofauti na ya Kikristo. Wamekuwa wakipata shida sana katika kulielewa hili jambo lakini kwa neema ya Mungu leo wote wanaenda kupata majibu ya swali hili tena ni jibu thabiti kibiblia. Ndugu...
PIA KUNA MABARA 7
1, bara la afrika
2, bara la asia
3, bara la amerika ya kaskazini
4, bara la kusini
5, bara la antaktika
6, bara la ulaya
7, bara la austaria
Kama ni viongozi walioiba ni wao,,aibu ni yao,,tukiendelea kulalamika upinzanupnzan,,wallah hatutafka mahala,,Tuungane tukemee unyonyaji wa,hawa makaburu.
Kuna point hasi na chanya kulingana na mada,ngoja nianze na hasi kwanza.
1-Kuzaliana kwa wingi bila mpangilio kunaongeza umaskini kwa kias kikubwa mnooo,kutokana kwamba,watoto watashindwa kusoma,,kupata huduma nzur za afya na kupelekea madhara makubwa baadae kwa taifa(kuwa na kizazi cha...
LAANA
Kumbukumbu la Torati 28:14
. msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.
Kumbukumbu la Torati 28:15
. Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya...
LAANA
Kumbukumbu la Torati 28:14
. msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.
Kumbukumbu la Torati 28:15
. Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.