Beauty lady tested hiv+ age between 18 -30 yrs needed quickly for marriage, pls Pm me if ur interested, also non Hiv+ are welcomed if they r ready to live with me unconditionally am tested Hiv+.
Hawa wamehatarisha kitumbua cha chama lazima watimuliwe Mara Moja, ila waliopitisha mapingamizi na kuwaengua wapinzani wanasubiri kupewa ukuu wa mikoa.
dhaifu gvment
Wapendwa bunge limeahirishwa yapata saa 6 mchana na litarejea saa 9 alasiri
kwa wasomaji wa biblia ndo muda Yesu aliosulubiwa na kukata roho hii inatupa tafsiri gani kwa Mzee Sita na bunge la katiba?
naomba uchambuzi pls
Big show naona umejipanga kuja kufight kwa hii mada yako, jenga hoja tukuelewe, kadhi court ni ibada kwa waislam so kwa nn uiingize kwenye msahafu wa watanzania wote? mnataka wote tuiabudu? jambo likishakua lakikatiba automatically linakua la wote so pls stop deceiving us, anzisheni mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.