Pambana kamanda saa ya ukombozi ndio hii...nasikia diwani juzi aliitisha mkutano wa hadhara maeneo ya kwake hakupata wadau...watu washakata tamaa nae..kwa sasa wanakuunga sana mkono wewe...na wanasubilia kwa hamu hukumu yake hapo trh 31.05.2013.baada ya hukumu wanasema watahakikisha...
Kamanda mambo vip...harakati zinaendaje pande hizo...nilikuona wiki iliyopita ukiwa kwenye mkutano wa CHAMA mtaa wa kishiri..ulikua na viongozi mbalimbali wa chama ngazi ya wilaya pamoja na matawi ya Kata ya Igoma..Nakutakia kila la kheri kamanda wangu.Viva CHADEMA.Pia nasikia fununu unataka...
pia wajiandae kukutana na yule jamaa wa CCM B amabae uchaguzi uliopita alihongwamilion 30 na ndassa.....akashindwa kwa tofauti ya kura 1200....kwa sasa ni diwani wa kata ya Lyoma......anaitwa JULIUS SAMAMBA
Umesomeka sana mkuu...huyo NICKY nimemsika sana wana Igoma wanamwitaji nasikia ni kijana wa hapo hapo igoma...babu yake alishawahi kuwa diwani wa CCM miaka ya nyuma....mama yake nae alikiua diwani wa CCM viti maalum badae akagombea kata ya Buswelu..pia Mzee wake alikua Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.