Watanzania wote na nchi zote nawasalimia naomba mnishauri / mnipatie dawamimi nina umri wa miaka 40 sieleweki na tatizo langu lina kama mwaka sasa nilikuwa natumia dawa za uzazi wa mpango toka nimeacha ndo yananitokea haya na maziwa yangu huwa kama mtu mjamzito nikikaribia siku zangu nimeenda...
Wakuu heshima mbele. Mzazi wangu ana umri wa miaka 70, hivi karibuni kafanyiwa uchunguzi wa afya yake kwa kupigwa x-ray na kukutwa na tatizo kwenye moyo na mapafu baada ya kutumia dawa kwa muda wa miezi miwili mfululizo akaanza kuumwa figo na mkono wa kulia joint za viganja zinauma sana na...
Mods badilisheni heading ili tuone coverage ya kitimoto nchi nzima. Nimefurahi hii ya dar lakini pale iringa mabanda ya ccm ni "waiti pepa" ya kufa ntu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.