Habari wakuu, nauza kapeti la kukata kubwa lenye ranging ya maroon
Bado Jipya na limeshafuliwa
Ukubwa wake ni miguu 12kwa16
Nakupa na dogo kenye miguu 5kwa12
Lipo tegeta
140000
0712623938
Habari wakuu, Friji kubwa na nzuri na bado mpya inauzwa. Upande mmoja fridge mwingine freezer pia INA water dispenser. mwenyewe anahama nchi ndio sababu ya kuuza.
1.2m
IPO tabata kinyerezi
0712623938
Wakuu mimi najihusisha nakuuza na kununua vitu used ikiwa ni furniture, electronics, toys vifaa vya jikoni. kama una kitu unauza au unataka nitafute kwa namba 0712623938
Wakuu tuna page instagram ya kutangaza vitu used vya majumbani, ofisini na vitu vya watoto vinavyouzwa kwa bei nafuu, usitupe kitu usichohitaji tena, kumbuka cha zamani kwako kipya kwetu. tutafute kwa namba 0712623938
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nataka kununua account insagram yenye followers wengi wa hapa Tanzania kwa ajili ya biashara yangu ya mtandao, aliye nayo please pm
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.