Search results

  1. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Yah umemshauri vyema mkuu..kabla ya kwenda sehemu ya kukusanya mzigo ahakikishe ameweka mpango vizuri wa leseni ya ku deal na biashara ya Dagaa. Maana bila hivyo,, hataweza kuusafirisha mzigo wake. KIMOYOMOYO napapata vyema mkuu.
  2. mustafaKj

    Msaada vijiji gani nipeleke dagaa wa Mwanza?

    Dumu 20 au Dumu 10.
  3. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Sahihi kabisa,, aingie field tu. Hayo ya mvua ni ngumu kuya control.
  4. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Dagaa haitunziki kwa muda mrefu,, ikiwa hivyo inapoteza ubora na kuwa nyekundu.
  5. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Hahaha..mkuu kisiwani watu wengi wenyeji wa huko washajikataa aseh. Huko kwa mgeni ni kwenda ku deal na kilichokupeleka tu. Hiyo Kerebe mimi sijawahi fika aseh,, mi nacheza na hiyo MULUMO.
  6. mustafaKj

    Mapenzi ya kweli kumbe yapo

    Mwamba ndo binafsi namjua, ni mtumishi wa TRA.
  7. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Kuna pia kisiwa cha LUSHONGA,, wastani wake ni 35000.
  8. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Inategemea sasa ndg unataka kwenda kisiwa cha wapi.. Binafsi,, nina taarifa na kisiwa kimoja kinachoitwa MULUMO, kutoka mwanza mpaka hapo kuna wastani wa Shilling 25000.
  9. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Kwa experience ya visiwa vya Bukoba mvua zinaweza nyesha kwa huu mwezi wa 9 na 10 pia. Lakini nachoweza kukushauri ni kwamba ingia mzigoni mkuu upige kazi,, kwenye icho kipindi cha mvua,, mzigo unaweza kuwa changamoto kukusanya lkn uzuri ni kwamba ukiupata, sokoni pia utauza kwa bei nzuri sana.
  10. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Mfano katika kipindi hiki,, bei kidogo ipo juu maana mvua zinanyesha sana huko visiwani, kwahiyo Kuna uhaba wa jua( Nishati inayotumika kukausha Dagaa). Dumu linauzwa hadi Shilling 24000/=. Gunia linakuwa na ujazo wa Dumu 20 au 10. Uzito wake waweza kuwa Kg 80 kwa gunia lenye ujazo wa dumu 20...
  11. mustafaKj

    Biashara ya dagaa

    Biashara ya Dagaa haina bei fixed(wakati wa kununua), huo ndo ukweli. Bei yake inabadirika kwa kila Giza( Hiki ni kipindi ambacho uvuvi wa Dagaa ufanyika ndani ya kila mwezi,, simply ni kipindi ambacho kunakuwepo na giza kabla ya mbalamwezi kuanza kuchomoza). Pia kwenye Giza hilo hilo, bado...
  12. mustafaKj

    Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake

    Me nimekua nikiota sana Niko shule Tena ya msingi muda mwingne naota Niko sekondar hii ndoto inajirudia sana naomba unisaidie
  13. mustafaKj

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Google pixel 3a.
  14. mustafaKj

    Wauza smartphone tukutane hapa

    -Google Pixel 3a -Storage 64 gb. -Bei:180,000 Tsh. -Location: Nyanza. -Mobile: 0756 407543
  15. mustafaKj

    Teams qualified for the 2025 Club World Cup so far

    Hii itakuwa ni michuano ya kwanza ya Dunia inayoshirikisha jumla ya vilabu 32 mnamo mwaka 2025. Hii ni tofauti na ya sasa inayoshirikisha pekee vilabu bingwa kutoka kila bara. Upatikanaji wa vilabu hivi tajwa ambavyo vishapitishwa moja kwa moja kushiriki ni kwa kufata kigezo kimoja tu ambacho...
  16. mustafaKj

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo mkuu...imenyooka bila kipengele chochote. Bei.. Tsh 470,000. Location: Mwanza. 0756 407543.
  17. mustafaKj

    Kwanini mbwa hugongwa sana na magari barabarani?

    Mbwa mara nyingi ugongwa nyakati za usiku. Hii ni kwasababu; Wakati wa usiku barabara zenye rami utunza joto,, ambalo mnyama Mbwa upendelea zaidi kulala barabarani kwa lengo la kulifaidi joto hilo. Usingizi na joto hilo umlaghai na kuhisi yupo sehemu salama hivyo kujisahau mpaka kufikiwa na ajali.
Back
Top Bottom