Asilimia kubwa wametembea na mabosi wao, so wanaamini hata kama angejibu vp bado ana kazi, kwa mtazamo wangu mabosi ndo wanatakiwa wajirekebishe kwanza, wawaheshimu masekretari wao ili kazi ichukuliwe kama kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.