This is mere speculation. THE REALITY is mtu pekee ninayemfahamu na aliyeteuliwa/chaguliwa kushika nafasi ya kitaifa, angalau kama tulivyoelezwa na CCM, kwa kuzingatia jinsia yake ni mama ANNE MAKINDA, mwanamke Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maoni yangu hicho...
mimi ninamshauri tido mhando atafute kazi huko, panamfaa. Tbc hapakuwa mahali pake, wananchi bongo lala na wanaongozwa na bongochafu. Aljazeera hawapaswi kuja tz kwa sababu tv za tz zinafanya reporting, aljazeera analyses kwa wingi. Bongo chafu hawatawaruhusu ku-analyse bajeti, hotuba zao nk...
Kama mfanyabiashara nimekuwa nikisafiri mara kwa mara na kushuhudia magari yakikamatwa na trafiki polisi ambao mimi ninawaita polisi rushwa kwa tuhuma mbalimbali kama vile speeding, gari kuwa chafu, bima kuisha, madereva kutokuwa na leseni, breki zenye matatizo, nk. Hata hivyo sijawahi...
Kama mfanyabiashara nimekuwa nikisafiri mara kwa mara na kushuhudia magari yakikamatwa na trafiki polisi ambao mimi ninawaita polisi rushwa kwa tuhuma mbalimbali kama vile speeding, gari kuwa chafu, bima kuisha, madereva kutokuwa na leseni, breki zenye matatizo, nk. Hata hivyo sijawahi...
Hili ni jambo muhimu sana kulijadili, lakini du sijui kama WATANZANIA wako tayari kujadili mambo muhimu kama haya: wao hujadili simba na yanga. Maoni yangu ni kuwa vyombo hivyo vya habari vitaleta maangamizi muda si mrefu ujao. Serikali wanalitambua hilo, ila hawachukui hatua kwa kuwa habari...
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa ya Tanzania (ILIYOTUNGWA NA CCM) ya 1977 na sheria za uchaguzi mTanzania anaruhusiwa kugombea ama udiwani, au ubunge, au udiwani na ubunge kwa pamoja au urais. Mtanzania hawezi kugombea udiwani, ubunge na urais kwa wakati mmoja kama ilivyo kwa Kenya, Marekani na nchi...
Tuachane na magamba. Mimi binafsi nimeshuhudia mara kadhaa Kikwete akiongopa live. Ntasema moja. Ninakumbuka wakati wa kampeni za urais 2010 Kikwete akiwa ULYANKULU Tabora, ktk wilaya ya Urambo, aliwadanganya wananchi kuwa kabla Julai 1, 2011 ataanzisha jimbo la uchaguzi la ULYANKULU na kutakuwa...
Jamii Forum is the home of great thinkers, and thinkers argue, support their arguments with concrete evidence. MOPAOZI sustantiate your claims with evidence. Otherwise, thanks for your comments ... Like you if I were a fool, I would prolong your unreasoned shouts.
Sasa ni dhahiri, KIKWETE nchi imemshinda. Serikali yake imeshindwa kulipa watumishi stahili zao. Mishahara yashushwa, posho zapukutishwa na hakuna malipo kwa wafanyakazi wapya wanaoanza kazi. Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma (Standing Orders) zafanyiwa marekebisho.
Kwa mujibu wa Gazeti la...
Nakushkuru kwa kukubaliana na mimi kwamba Bunge lina uwezo na mamlaka ya kikatiba ya kurekebisha bajeti ya serikali ikiwa ni pamoja na kuikataa yote, au siyo? Mimi sina nongwa na MAKINDA, MTANZANIA MWENZANGU
Spika Makinda anasema kwamba, "Baada ya hotuba ya bajeti kusomwa Bungeni, Bunge haliwezi kuibadilisha kitu." Spika kwa lugha nyingine anasema, Bunge halina kazi ya kufanya, na kwa nini walipwa kukaa Dodoma kikao cha bajeti wakati hawana cha kufanya? Siamini, na ndiyo maana nimeshtuka sana na...
NYAMBARI NYANGWINE is a plagiarist, hajawahi kuandika kitabu ila ananakili kazi za watu. Nyambari ni mwizi, huyu ndiye anayepaswa kufikishwa mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.