Nimekuwa nikiwasikia wabunge kama Lema, Heche, Zitto, Bashe na wengine kadhaa wakijinasibu kuwa hawaogopi kufa!
Nimekuwa nikijiuliza: hawaogopi kufa kwa ajili ya Taifa, nafasi na nafsi zao, au kwa kufahamu kuwa wanachofanya au kusema kina madhara kwao na taifa kwa kuwa ni kinyume cha sheria...
Njama/hujuma mbalimbali kwa taifa, zinaweza kuangamiza nchi sawa na ramli chonganishi.
Na mara nyingi hutokana na mapandikizi (watu) ya muda mrefu (kulingana na mikakati iliyokusudiwa) yaliyowekwa Serikalini au kwenye sekta za umma ili kuvuruga mfumo mzima unaohusiana na maisha ya wananchi ya...
Kiasili (nakubali kukosolewa), mwanadamu ameumbwa na mihimili:
1. Uvivu;
2. uchoyo na;
3. Ukatili.
Pamoja na kuumbwa hivyo, bado mhimili wa tatu una mizizi mirefu na ndio huhinikiza na kuonesha tabia halisi ya mwanadamu (malezi) - chanya au hasi. Mhimili huu ukiwa na matokeo chanya ndio...
Kama katiba itatokea kufanyiwa marekebisho, nashauri raisi aondolewe na kura na sio kwa ukomo wa mihulai. Hii itamuwezesha raisi aliyepo madarakani kukamilisha dhima yake au kama ameshindwa, kumuondoa madarakani. Hali hii inaweza kumfanya kiongozi anayefaa kuendelea kuiongoza nchi na yule ambaye...
Watu kutekwa, kuuawa, kupigwa risasi, n.k. yanaonekana kuwa matukio ya kawaida na ambayo ukomo wake haujulikani utakuwa lini na kwamba, wahusika ni akina nani na wana maana gani!
Najiuliza kwa sauti:
1. Je, ni serikali? Kama ni serikali, inafanya hivyo kwa sababu gani?
2. Je, ni vyama vya...
Kuna baadhi ya wabunge wa CCM ambao wamejenga utamaduni wa kuikosoa serikali kiaina kwa kutumia vyombo vya habari huku wakijua kuwa kuna caucus wabunge wa chama hicho ambayo inaweza kutumika vizuri bila kuonesha ufa wowote na serikali ikawaelewa vizuri zaidi. Kutumia vyombo vya habari kukosoa...
Ndugu wagenzi wa fasihi, kama mlikuwa miongoni mwa waliotazama mazishi ya Marehemu Mzee wetu Kingunge Ngombale Mwiru, bila shaka Msanii mahiri wa ugani / tambo, Mrisho Mpoto aligusa nyoyo za waombolezaji na watazamaji wa mazishi yale kwa maneno mazito ya kizalendo na yenye hamasa kwa umoja na...
Kuna baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakijinasibu majukwaani kwamba wanataka kulikomboa taifa hili la Tanzania! Kwa kauli hizi nimekuwa nikijiuliza: hivi kumbe bado tuko kwenye ukoloni?
Au labda wana maana kwamba CCM kukaa muda mrefu madarakani ni sawa na mkoloni?
Sina uhakika kama neno hilo...
Wangwana,
Nina wasiwasi kwamba, kasi ya idadi ya watu, ni sawa na kuchotea maji kwenye tenga. Sina uhakika kama wachumi waliomo kwenye mfumo wa utawala wanaliona hili. Na kama wanaliona, sina uhakika kama wanalitafakari na kulichukulia hatua sitahiki.
Aidha, kwa wananchi wa kawaida, ambao ndio...
Wangwana wa JamiiForums, mara nyingi tumekuwa tukishuhudia Asasi za Haki za Binadamu zikikosoa serikali kwa masuala yasiyokuwa na tija kwa mustakabali wetu! Kuna suala la msingi sana la watoto wa mitaani /chokoraa ambao hawana makazi, hawajui watakula nini, hawajui msamiati wa elimu una maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.