Massanda OMtima Massanda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 1,056
- 561
Kama katiba itatokea kufanyiwa marekebisho, nashauri raisi aondolewe na kura na sio kwa ukomo wa mihulai. Hii itamuwezesha raisi aliyepo madarakani kukamilisha dhima yake au kama ameshindwa, kumuondoa madarakani. Hali hii inaweza kumfanya kiongozi anayefaa kuendelea kuiongoza nchi na yule ambaye hafai kuishia atakakoishia. Kura iamue na sio mihula!
Tuige mfano wa CHADEMA, Urusi, Ujerumani, Uchina, n.k
Tuige mfano wa CHADEMA, Urusi, Ujerumani, Uchina, n.k