Habar za kutwa wana JF
Wadau mwenzenu nasumbuliwa na meno, nimeshapata kung'oa mawili(2) na bado mengi matatu(3) yananisumbua ambapo mawili ni ya chini moja la juu
Plz wadau sihitaji kuendelea kung'oa maana sitabakiwa na kitu.
KUNA ANAYEFAHAMU TIBA YA HILI?
Kuna msemo mmoja naupenda mno...'hakuna aijuae kesho yake' au wengine wanasema "kipele hakimpati mkunaji"...wengi tulikuwa na dream ya kazi ama kitu tunachopenda kifanya kwa ajil maisha yetu.
Binafsi nilipenda Jeshi lakini nimeangukia kwingine.
Hebu tushare pamoja, ni kaz ipi ilikuwa ya ndoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.