Search results

  1. Malimi Jr

    Jinsi elfu ishirini ilivyonikosesha utelezi

    Tusichoshane maisha magumu siku hizi. Wakati Messi na Mbappe wanatikisa nyavu huko Qatar, nikasema nami nisiwe mzembe nami nitikise nyavu za mke wa jirani yangu ili niongeze uzoefu. Ilikuwa siku ya juzi nikatimba kwake huyu mama nikaanza kujiongelesha habari za hapa na pale hatimaye nikaomba...
  2. Malimi Jr

    Mwaka huu nimeamua kurudi shule, ushauri wenu ni muhimu

    Heri ya mwaka mpya wakuu. Naenda moja kwa moja kwenye mada. Hii ni baada ya harakati za hapa pale za kusoma kwa kuungaunga hatimaye nimepata vigezo vya kujiunga na digrii. Na digrii yangu nitasoma facult ya elimu hilo sina namna nalo, nalazimika kusoma kitivo hicho kwa sababu mbalimbali ambazo...
  3. Malimi Jr

    Mwaka 2022 Utakuwa Mgumu Sana Kwa Watumishi Wa Umma Kuwahi Kutokea.

    Sikuchoshi na salamu maana hazikuletei mkate mezani. Nimeshachoka naanza kwa kukupa makavu, andaa panadol na jagi la maji mengi pembeni. Hakikisha unakunywa maji mengi maana ndiyo bidhaa pekee iliyobakia mjini ikiuzwa kwa bei ndogo zingine hazikamatiki. Ni takribani miaka 7 watumishi wa umma...
  4. Malimi Jr

    Watanzania tunahitaji fikra mpya na viongozi shupavu

    Sikuchoshi na usinichoshe, moja kwa moja kwenye mada. Kwanza nina furaha na amani tele tena moyoni baadaya ya miaka 5 na siku 114 kupita nikiwa na maumivu makali sana moyoni. Furaha yangu ilirejea ndani ya nusu ya pili ya mwezi machi. Lakini wakati nakula zangu bata kwa furaha ghafla nashangaa...
  5. Malimi Jr

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu; Nusu Mtu, Nusu Chuma

    Takribani miaka 60 sasa Watanzania hususani tabaka tawaliwa, tumeishi kwenye ufukara uliotopea. Wakati huo tabaka tawala wakijineemesha kupitia msamiati uzalendo. Miaka 60 ya uhuru bado tunapewa ahadi ya jiji la Arusha kuwa kama CALIFORNIA, wakati watoto wetu wanasomea chini ya miti, maajabu...
  6. Malimi Jr

    Hatimaye Kikao Cha Ukoo kimefanya Maamzi Magumu

    Siwachoshi naenda moja kwa moja kwenye mada. Katika ukoo wetu tuna utaratibu wa kukaa kikao kila tarehe 24 mwezi wa 10 kila mwaka, hivyo leo ndiyo leo na muda huu burudani, maakuli, vinywaji na mazungumzo ya kawaida yanaendelea huku kikao rasmi kikifungwa na mwenyekiti mnamo saa tatu kamili...
Back
Top Bottom