Wadau Leo nimeamini Utafiti wa "TWAWEZA"Juu ya wafuasi wa CCM.Sikutegemea Mtoto Mdogo Na mchanga Na bumbumbu wa Siasa Bw.Shaka wa Uvccm atufundishe siasa watanzania Na pia amtukane Mh.Lowassa.Napenda kumfahamisha shaka kuwa Mh.Lowassa sio size yake , Mh.Lowassa ni Baba yake Na Mh.Lowassa...
Wadau naomba tushirikiane kumkumbusha Bw.Ndugai Spika wa Bunge Juu ya kiapo alichoapa baada ya kuchaguliwa.Spika Ndugai anaonekana kuchukia dhahiri Kambi ya Upinzani .Kauli Na maamuzi yake yamekuwa ya upendeleo dhahiri Kwa wabunge wa CCM.
Jana Mh.Rais ameliagiza Bunge lipitie Mikataba yote.Suala la mikataba lilikuwa kaa la moto kila Mara pale Wapinzani wanapolitaka Bunge liiagize Serikali iilete.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.