Kwa mitazamo ya kisiasa Tundu Lissu amekuwa ni mbunge wa kupotosha jamii huku akijisahau kuwa, amepelekwa pale bungeni kwa huruma za chama cha mapinduzi na kura za wasiojielewa. Yapo mambo ambayo Lissu amekuwa akiyapinga hata kama yanaleta maendeleo ktk jamii.
Hakuna aliyetegemea maajabu ya...
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam mheshimiwa paul christian makonda amekuwa shujaa wa vita tangu awe appointed na amiri jeshi mkuu mh. John pombe joseph magufuli. Yapo mambo kadhaa ambayo bila ubishi yalileta mshtuko na yalitikisa dunia ambayo hata Rais wa awam ya nne hakuweza kuyagusa. Sikuzote...
Kinachokuja kuniumiza akili ni pale ambopo nakuja kuona kila tukio tunalolipata liwe polisi kamfyatulia malima risasi lawama zitakuja kwa serikali bila kuchunguza kwann kafanya hivi polisi,
Polisi saba waliouawa kibiti mliweza kutia mioyo ya ganzi na kusema acha wave maana wao wamezidi bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.