Husika hapo juu wakuu,
Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha,
Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar.
Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata wahitaji zaidi,
Kwa kuanzia nataka nianze na mzigo wa lita 50 hadi 100.
Naombeni ushauri wenu wadau.
Wanajamii,
Naombeni msaada jinsi ya kuanzisha kibanda cha Tigo pesa na mitandao mingine na kuuza umeme wa Luku.
Kwa maelezo ya kwanza niliopewa, nimeambiwa natakiwa niwe na line ya mtandao husika na mashine ya Sellcom au Maxmalipo.
Pia nimeambiwa ili kupata vyote hvyo nahitajika niwe na Tin...
Nimepita hapo 2009-2011 tulipokelewa na Lulukila (Master) Bweni nililofikia Shelaton, Room Wanyama ( The Animals)
ktk vitu ninavyovikumbuka shule nzima ilikuwa na wanafunzi 976 kombi 9 ila walimu 13, yaan kila mwalim akipewa darasa lake hawaenei maana Form5&6 jumla ilikuwa madarasa 18.
Sowani...
Habari zenu wakuu (ndo nilivyosikia mkiitana)
Naomba mnipokee na kunionyesha mazingira ya humu, ila naomba nichague member wa kunitembeza humu naye si mwingne bali ni miss chagga.
Maana anaonekana na mkarimu sana kabla hata sijafka.
Ila ntaomba anipeleke maeneo yote hadi kule mnapokuita PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.