Na kweli kwa tarakimu hizi lazima mshinde
Jimbo La Kawe.[emoji23][emoji23]
[emoji117]Mdee kapata kura 32,524
[emoji117]Gwajima apata kura 194,833
** Jumla 227,357
Kwenye Urais
[emoji117]Meko kapata kura 302,304
[emoji117]Lissu Kapata 29,285
**Jumla 331,589
Ina maana watu 104,232 hawakupewa...
Maajabu Ya NEC Jimbo La Kawe.
[emoji117]Mdee kapata kura 32,524
[emoji117]Gwajima apata kura 194,833
** Jumla 227,357
Kwenye Urais
[emoji117]Meko kapata kura 302,304
[emoji117]Lissu Kapata 29,285
**Jumla 331,589
Ina maana watu 104,232 hawakupewa kabisa za kumpigia mbunge?
Hivi mnashindwaje...
Ni kweli mkuu teknoji zinashindana Cha msingi ukigundua tu kudukuliwa restart simu, na utajuaje Kuna neno lolote utaletewa na vpn ukichelewa funguo ikipotea kwenye screen ujue umeanza kuonekana ulipo, restart Rudi hewani wataanza upya ukiona tena restart Sasa watashinda na wewe[emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.