Search results

  1. X

    Dkt. Mpango: Nilipoachiwa nchi niliogopa lakini nashukuru Rais umerudi na nchi ni salama kabisa

    Kuna mengi yakufikirisha.. Mamlaka zisiyabeze maneno haya maana hayajaja kwa kushitukizwa. Labda Kama iwe hakujiandaa kwa tukio la kumpokea bosi wake.
  2. X

    Uchumi wa Kati: Waziri wa Viwanda, Kitila Mkumbo azindua tela la kubeba mizigo

    Hapa ndipo uone kuwa kuna tofauti..
  3. X

    Rais Samia hatuhitaji tena ziara zako za barabarani, hazina msaada wowote kwetu

    Ki binadamu, kila mtu ana karama yake. Tusiwalinganishe kiutendaji.
  4. X

    Rais Samia: Kwa wale mliokuwa na mashaka, mwanamke huyu ataweza kuwa Rais wa Tanzania? Nataka niwaambie aliesimama hapa ni Rais wa JMT

    Wakati mwingine Kuna dhana ambayo sio ya wazi Ila huwa ipo. Unapofanya kazi chini ya mtu (makamu wa raisi huwa huna maamuzi ya moja kwa moja). Unakuwa Ni mtu wa kushauri zaidi. Pia unaweza kujisahaulisha kabisa kuwa hali hiyo itadumu na hutegemei na kuwaza siku moja yaweze kuwa na mabadiliko...
  5. X

    Ni Daktari gani aliyemshauri Hayati Magufuli kugombea Urais?

    Nafikiri kwamba huenda system ya ki-usalama ya kwetu haikuweka kipaombele kwenye kipengere kinachohusu ubora wa afya ya mtu kwenye nafasi husika. Yawezekana pia taasisi husika na mifumo yake hadi sasa bado haina utaratibu wa kuwaandaa watu kwa ajili ya kushika nyadhifa nyeti hasa zile za...
  6. X

    Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

    Duuu , hapo kwenye # iv. Wakuu wa Mashirika ya Umma, na haswa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).........................
  7. X

    Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

    Uzi huu katika mahali hapa kiukweli hauleti taswira nzuri kwa pande zote. Kazi maalumu achilia kwamba ni nyeti lakini pia ni endelevu. Kuna mmomonyoko wa kima adili hasa ya utumishi katika umma nauona kwa mbali. Jambo hili liangaliwe kwa uzito stahiki hasa hasa kama mamlaka husika zinaliona hili.
  8. X

    Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

    Jamani, nafikiri lengo la mleta mada hii kwa wana jamii ni kupata mawazo na hata faraja kama mwana jamii. Nimesoma komenti nyingi zinakosa japo neno la faraja. Tukumbuke kuwa ualimu ni kazi ya heshima. Popote ukimtaja mtaalamu wa aina yeyote ni sharti awe amefundishwa na mwalimu. Ni vema ikiwa...
  9. X

    Mwelekeo wa sera za Tanzania kwa kuzingatia maudhui ya Ilani ya CCM ya 2020-2025: Je serikali itaweza kutimiza ahadi hizi zote kwa wakati?

    Umefanya analysis kwa vyama viwili pekee. Vipi ikiwa ungefanya kwa vyama japo kwa zaidi ya viwili Kama sio vyote ili tuwe na eneo Pana kwa kuwa vyama vyote vipikuwa na ilani yake. Kwenye sayansi kanuni zinaelekeza kuwa "more samples for treatment is more accurate becoming".
  10. X

    Tanroad wamejengewa uelewa wa kutosha wa namna ya kupambana na ujenzi wa dharura

    Ki-geographia, Tanzania ni mojawapo ya nchi za ukanda wa tropical pamoja na equatorial. Ina tabia ya kupata mvua kubwa na za mara kwa mara. Maji ya mvua hutengeneza makorongo au mito ya kudumu. Miundombinu muhimu kama ya barabara na vivuko hutegemeana na ufahamu na uelewa mkubwa hasusan Nyanja...
  11. X

    Mitandao ya simu, vinga'amuzi igeni Tanesco kwa faida ya umma, mawaziri na regulatory authorities tupeeni macho

    Hongera mkuu, Huu uzi nimeupenda sana. Nafikiri umefunguo macho ya wengi.
  12. X

    Kisiasa, kwa matukio haya mawili unapata tafsiri gani?

    Zhen de ni yiding yao ke pa na ge ren !
  13. X

    Jarida la The Economist leo limemtukana Rais Magufuli kwa kumwita FOOLISH

    Tusi la kidhungu wala hata haliumi...
  14. X

    Magufuli anaandaliwa kukaa madarakani kwa muda mrefu zaidi

    Nilijua Si Si Em ina wenyewe..., Kumbe ni ya mutu mumoja,,,
Back
Top Bottom