Habari wana jamii,
Kama kinavyosomeka kichwa cha habari mimi ni mdau ambae ni mgeni katika mambo ya kilimo ila nimeamua niweke nguvu zangu huko.
Nimelima mpunga ekari 5 msimu huu na ninahitaji kuweka mbolea nikiamini nitapata mazao mengi ila naomba mnisaidie yafuatayo:-
1. Mbolea za aina...
Hi JF
Ni kama uzi unavyojieleza, katika mishe zangu za hapa na pale mara kadhaa nimekutana na baadhi ya wadada warembo, watanashati, waliojipamba vizuri wakakolea ila ukiendelea kumtazama vizuri sana unagundua blauzi alovaa haina kifungo na badala yake amefunga kwa pini ya kufungia nepi...
Nipo natazama ITV mubashara, naona baadhi ya wafanyakazi wanashangilia sana lkn wengne wanaonekana hawana shauku yoyote ila ni kama wamelazimishwa. Naomba mniondoe utata hapa, hivi ni kweli furaha na bashasha hii ninayoiona inatoka kwa dhati mioyoni mwao au hawana la kufanya ila imebidi wafanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.