Binti mrembo, mtanashati ila kitu kimoja tu umeharibu, blauzi imefungwa na pini

ikinyunyi

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
1,065
932
Hi JF

Ni kama uzi unavyojieleza, katika mishe zangu za hapa na pale mara kadhaa nimekutana na baadhi ya wadada warembo, watanashati, waliojipamba vizuri wakakolea ila ukiendelea kumtazama vizuri sana unagundua blauzi alovaa haina kifungo na badala yake amefunga kwa pini ya kufungia nepi!

Yaani anakuwa ameharibu sana mwonekano mzima wa utanashati wake, nini tatizo dada zangu?
 
Hi JF

Ni kama uzi unavyojieleza, katika mishe zangu za hapa na pale mara kadhaa nimekutana na baadhi ya wadada warembo, watanashati, waliojipamba vizuri wakakolea ila ukiendelea kumtazama vizuri sana unagundua blauzi alovaa haina kifungo na badala yake amefunga kwa pini ya kufungia nepi! Yan anakuwa ameharibu sana mwonekano mzima wa utanashati wake, nini tatizo dada zangu?

Ulimuuliza? Kwa nini hukumchukua na kumnunulia blauzi mpya? Pengine kifungo kilikatika njiani.

Mind your own business guys. Hizo akili za macho kodo katafutieni pesa, elimu au kumcha Mungu. Vinginevyo mute au mezea.
 
Mkuu si lazima kutokua na kifungo,kuna blauz nyingine ukivaa katikat ya matiti panachungulia yaan Panama uwaz Fulani ambao usababishwa na Matiti suluhisho kipin kidogo .hamna namna
 
Pini ni muhimu kuwa nayo, maana wakati wowote ajali inaweza kutokea, sasa ukute wewe umewaona wakiwa ndio wamejisevu na hizo pini baada ya ajali...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom