Mi nahisi yule Dada kalambishwa mpunga ili akanushe maelezo yake ya awali,ila lazima ni mtoto wake tu,asingetoka hadharani kwenda kudai kutambuliwa na baba yake na mama yake kathibitisha kuwa kweli ni mtoto wake halafu akanushe,nahisi upande wa mlalamikiwa umemlambisha mpunga akanushe tu
Na lengo ndo hilo ukitajwa na wewe unaitwa kwenda kueleza kama ni kweli ulitelekeza mtoto especially wachungaji na maaskofu tujue ni wasafi kiasi gani?Makonda endelea kosa ni kosa tu bila kujali limetendwa na nani
Mimi mwenyewe nimemuelewa sana,hata Mimi nilipousikia siku ya jumatano ya majivu nilijiuliza maswali mengi sana mpaka katekista aliyeusoma nikaanza kumchukia,poroko alikuwepo ila hakuusoma nafikiri labda na yeye alishtukia kitu,watskuwa wamevuta mpunga,sasa na wewe ndugu yangu saba katibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.