Mara nyingi huwa ni sababu za kibiashara au tamaduni. Mfano, Toyota Highlander ni gari lile lile la Toyota Kluger. Wajapani hawawezi kutamka Highlander kwa ufasaha hivyo Highlander inauzwa Marekani na Kluger inauzwa Japani lakini ni gari ile ile. Ni kama tu toyota Harrier na Lexus RX 300. Lexus...
Karibu mtani wangu,
Naomba nikukaribishe kwa swali lifuatalo kuhusu kupanda kwa gharama za ardhi. Nakumbuka katika bunge la bajeti la 2012/13 bunge lilikuruhusu ku-review gharama za ardhi. Nawe bunge lilipoisha ukarudi ofisini na kufanya kazi hiyo. Kinachonisikitisha ni jinsi ulivyopandisha...
Kwa kuongezea tu;
Kwa sheria ya sasa ya kazi hakuna ajira inayoitwa kibarua; kibarua ilikuwa sheria ya zamani,
Sheria sasa hivi inatambua ajira za aina tatu nazo no
1. Permanent contract
2. Contract for specified period, eg. miezi mitatu, one year etc
3. Contract for specified task, mfano...
Kama nimekupata vema, inaonekana ushahidi ulitolewa na upande wa mashitaka ila mwisho wa siku ikaonekana hautoshi kukutia hatiani. Hapa ndipo ugumu unapokuja. i kila mara unapopelekwa courtini upatikane na hatia. Pia si kila kesi mtuhumiwa anaposhindwa anakuwa na haki ya kufungua shauri la...
Tangu nianze kufuatilia habari za bajeti ni mwaka wa 6 sasa. Serikali kuna baadhi ya miaka ilikuwa inakuja na bajeti tamu hadi unaona nchi sasa itaendelea. Mwaka huu pamoja na mapungufu ya ubunifu wa vyanzo vipya vya mapato na kuendelea kung'ang'ania vyanzo asili kama bia na sigara na kusahau...
Hawajui wanapotezea watu muda; nchi hii inahitaji vitu wiwili ili iendelee
1. Kujali muda
2. Kuwajibika
Muda unaotumika kutafuta tiketi mfukoni unaweza kusababisha baadhi ya watu waendelee kusubiri; huu ni upotezaji wa muda usio na sababu
Naona mtoa hoja ni Nauye Jr na picha ni ya Nape Nauye, je huyu ni Nape Nauye kabisa au mtu mwingine. Kama ndiye asilete habari za magazeti ya uhuru hapa. Yeye atwambie mkakati wa siku 90 kwa watuhumiwa ............., aeleze kwa nini alisema hawezi kujiunga CDM kwa kuwa ni cha wachaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.