Ni matumaini yangu jukwaa hili Lina watu mbalimbali Wenye ubobezi Katika masuala ya nyanja nyingi.
Binafsi Nahitaji wataalam au washeria, hivyo naomba Kwa yeyote anaeweza kutoa Msaada huo nauhitji sana.
NB: awe anapatikana mwanza au iringa
Mm nina 28 na nipo kazni but Kuoa hadi 32. Sahv nainvest Kwanza Mm shidaaaa sitaki hujainvest hata kidogo unabeba mke wake wenyewe pasua vichwa akhaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.