habar yenu nyote wakuu...
nawaalika nyote tumulike kwa kujadiliana, ni sababu zipi zinapelekea watu wengi kuvutika na habari zisizo na mashiko ktk kubadili maisha yetu kiuchumi.....
wanaouza habari za uwekezaji, uchumi, biashara nk wanapata soko kwa tabu sana.
ila habari kama za udaku...
Habari ya muda huu wazalendo wote wa nchi yetu pendwa Tanzania....
kwa mujibu wa gazeti la Tanzania daima la leo, imeripotiwa kuwa CDM imepanga na inajiandaa kumfanyia sherehe kada wao mpya na mlimbwende (miss Tanzania 2006) bi Wema Sepetu.
Inadaiwa kuwa mlimbwende huyo anatarajia kuvuta...
Wakuu habari ya muda,
Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania.
Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.