Itikadi Kali zipo na usijifanye hujui, na tunazijua kwa matunda yake, mtu anafundishwa dini badala ya kuwa mtu mwema anakua muuaji na mvurugaji halafu yakotokea Kuna watu wataanza kudai ni mipango ya marekani na Israel.
Kila kitu Dunia hii kinahitaji kuwa na kiasi ie moderation.
Mnufaka mkubwa WA hizo pesa ni military industry ya marekani.
Hata hivyo kwa yeye Dola ni yake Wala Hilo deni halimsbui ni issue ya kuprint na kulipa tu.
Ukifiatlia sana hao wamiliki utakuta wamepata hizo elimu kwenye nchi ambazo ni purely Muslim na yenyewe yanakuja kuapply bila kuangalia mazingira ya hapa kwetu
The big big problem sio mafunzo ya karate Bali indoctrination wanayofanyiwa, halafu kama ni jambo zuri mbona wanafanyia gizani, tumwombe Mungu sana alete Nuru Giza litoweke, hawa wanaandaliwa kutengeneza fitna kwenye taifa na kutengeneza mfumo WA terrorism, itsfika wkt unaishi na Jirani yako...
Mi naamini mwanamke akiwa na elimu ya msingi nzuri au sekondari inatosha kabisa
Elimu nzuri kuliko zote kwa mwanamke ni malezi ya familia aliyotoka na mfano WA wazazi kwenye ndoa yao mahusinao yao.
Elimu kubwa ni ziada tu na sometime inaweza kuwa chanzo cha jeuri.
Kwangu mwanamke bora...
Kwa mtu anayejielewa na msomi hawezi kuongea kwenye media kubwa hivyo huku akiunga mkono makundi kama houth na Hezbollah ambayo ni mkono WA Iran WA kueneza itikadi ya kishia.
Hajiulizi kwa Nini wasaud wameoigana nao, it's the war of idealogy the Kislam na watu wanashabikia bila kujua.
Huyu...
Mnyumbuliko WA mashirika unatokana hasa na dira na dhima zao katika nchi na katika kuleta mgawanyo WA majukumu ie specialization. Hii unasaidia nchi kufocus kwenye maeneo inayotaka kwa kuhakikisha rasilimali zinafika huko.
Kuunganisha taasisi kuzimgatie ;
1.ikiwa kweli taasis zinaovelap kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.