....... Feel alright....... nzima wewe? Ile law firm bado ipo? Inaendeleaje?
I just remember those days..... claiming to catch big fish... hahahahahaaa
Enjoy your weekend.
Hapana babu simtamani bali nimeona maumbike yake yalivyo jinsi anavyovutia. Hivi unafahamu hata wsnawske wenyewe kwa wenyewe huwa tunakuubali kuwa "mwenzetu umeumbika sio kwa shepu hilo au sura"
Sasa hapo nimekubaliana na uhalisia kuwa huyo binti kaumbika na iwapo kuna mwanaume akimuona na...
Hadi nimesisimka, sijui nguvu ya umeme au ya sumaku upande wa hasi na chanya vimegusana....
All in all, Glory to the creater. Na anayefaidi zaidi ni macho, usiombe kuuumbwa kipofu maana macho huwa hayashibi ika yanafaidi hatari.
I love kissing....
And when am in, every activity in my body stop except breathing and touching.
The first day i kiss him.... my hand auto moves to his lap near his P, I dont know what happens we stop.
To me kissing is more than making love, I love it.
Aiseeh. .....
1. Fuga mbwa
2. Panda migomba ya ndizi kuzunguka eneo la ufugaji.... Acha ndizi ziivie kwenye mgomba kisha unazichoma sindano ya sumu. Wakila 2 au 3 na kufa watakimbia wote.
Hao kuku unaofuga ni broiler au wa kienyeji?
Kama wa kienyeji kwa njia hizo 2 hapo juu utakuwa ushatatua...
Hahahahaaa mwanamke mkorofi ni bora kuliko yule muongeaji kama kijana sauti cha wauza sumu ya panya, utasikia dawa ya mende panya sisimizi kiroboto inajirudia kuanzia asubuhi hadi jioni. Hivo kwanza una heri kuwa mkeo si wale waongeaji tangu kuna kucha anaongea hadi mchana hadi saa ya kulala...
Black is beauty always though kuna weupe unaovutia na weupe wa kung'aa tuu.
Though ume meander ur msg is delivered.
Sasa wacha nicheke
Hahahahahahahahaaaaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.