Wadau habarini za kazi? na poleni na majukumu ya hapa na pale katika kulisukuma gurudumu la maisha.
Leo ningependa niseme changamoto mbali mbali nilizokutananazo katika Love connect
1:Seriousness , watu wengi hasa wanaume(me) wamekua wakilitumia jukwaa hili kufanya utani/mzaa wakati wachache...
Nauza kiwamja maeneo ya chanika - Lukooni
12M*24M , vipo viwili vimefwatana vyote ni 12*24M , bei ni 2M@
Panafikika kirahisi na barabara ni nzuri , pja umeme upo mita chache tuu kufika kwenye kiwanja. .
Karibu tuwasiliane kwa mwenye uhitaji
20M*24M , kipo chanika lukooni , kutoka barabara ya rami(videte) nikama 500M na kutoka chanika stendi 900M . Njia ni nzuri ,panafikika kirahisi kwa gari , umeme upo karibu na nisehemu iliyojengeka vizuri .Bei 4M kwa taarifa zaid karibu PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.