Mwigulu anajaribu kufanya watu wamchukie Rais. Yaani kila kitu utaskia “Rais anataka kujenga vituo vya afya”. “Rais anataka kujenga barabara vijijini” He’s trying to exclude himself from this “tozo” mess.
Jitahidi sana usiharibu reputation yako uliyojitengenezea kwa miaka zaidi ya 20. Ukifa leo sidhan kama reaction ya watu itakua kama ungekufa miaka 5 nyuma.
Case Study: Mama Lwakatare.
Leo mida saa tisa ofisini mke wangu kanipigia simu. Cha ajabu kuna mdada kapokea simu akidai ile ni namba yake amepigiwa. Mke wangu akapata hofu huenda nipo kwa mchepuko.
Mungu amesaidia aisee, wife kampigia co-worker video call akoneshwa nipo kwenye ofisi yangu napiga kazi. Kaoneshwa na simu...
Ni muda mrefu nchi nyingi duniani zimewekeza nguvu kwa wanawake. Lakini kuna baadhi ya nchi kama Japan hili jambo wanalichukulia sio kwa mzaa kama nchi zetu za Kiafrica hususan Tanzania.
Kwa sasa kama ofisi inatoa ajira kwa vijana 6, lazima 4 au 5 wawe wanawake kwa asilimia kubwa. Kama kuna...
Mimi ni HR katika benki mmoja hapa Tanzania. Kila baada ya miaka 2 huwa tuna utaratibu wa kuajiri vijana waliohitimu chuo kwa program ya “Graduate Management Trainees (GMT).
Hawa GMT recruits huwa tunachukua First Class na Upper Second na program huchukua miaka 2 ya mafunzo katika department...
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa Nigeria nchi mbali mbali duniani wakikamatwa kwa makosa ya utapeli/wizi mitandaoni.
Mfano mzuri ni kijana anaejulikana kwa jina la Hushpapi ambaye alikamatwa hivi majuzi huko Dubai na kukutwa na $40 million. Huyu jamaa alikua akionesha utajiri wa nyumba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.