Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,636
Mimi ni HR katika benki mmoja hapa Tanzania. Kila baada ya miaka 2 huwa tuna utaratibu wa kuajiri vijana waliohitimu chuo kwa program ya “Graduate Management Trainees (GMT).
Hawa GMT recruits huwa tunachukua First Class na Upper Second na program huchukua miaka 2 ya mafunzo katika department zote hapa ofisini. Baada ya miaka 2 kuisha huwa tunawapeleka kwenye department walikofanya vizuri sana kipindi cha mafunzo.
Tuna utaratibu pia wa kuchukua graduates wengine kwenye entry levels mbali mbali hapa ofisini bila kujalisha ufaulu chuoni.
Ila kuna kitu kimoja ambacho nimekigundua katika miaka 10 ya kazi yangu. Graduates wa second class degree ndio wanaongoza kwa performance ofisini. Targets wanazitimiza kwa wakati na wanatoa mawazo ambayo yana faida kubwa kwenye kampuni.
Hawa 1st class wengi ni watu wa kawaida sana. Utamkuta ofisini anadai alipata 1st class Honours chuo lakini performance ni ya kawaida sana. Hiki ni kitu ambacho huwa kinanitatiza sana.
Hawa GMT recruits huwa tunachukua First Class na Upper Second na program huchukua miaka 2 ya mafunzo katika department zote hapa ofisini. Baada ya miaka 2 kuisha huwa tunawapeleka kwenye department walikofanya vizuri sana kipindi cha mafunzo.
Tuna utaratibu pia wa kuchukua graduates wengine kwenye entry levels mbali mbali hapa ofisini bila kujalisha ufaulu chuoni.
Ila kuna kitu kimoja ambacho nimekigundua katika miaka 10 ya kazi yangu. Graduates wa second class degree ndio wanaongoza kwa performance ofisini. Targets wanazitimiza kwa wakati na wanatoa mawazo ambayo yana faida kubwa kwenye kampuni.
Hawa 1st class wengi ni watu wa kawaida sana. Utamkuta ofisini anadai alipata 1st class Honours chuo lakini performance ni ya kawaida sana. Hiki ni kitu ambacho huwa kinanitatiza sana.