Huyo binti atakuwa kazoea hayo mambo. Ni mdogo ki umri ila Mambo yake ni makubwa, wewe unayemuona mdogo anakumudu hadi unashangaa. Jambo la msingi ni kama ulivyosema tujitahidi kuwapa nasaha na kufatilia nyendo zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahusiano miaka 5 siyo sababu ya kumng'ang'ania, Inaweza kuwa miaka 5 na bado hakuna future. Hiyo ni wewe mwenyewe moyo wako unasema nini. Ningekuwa mimi hata siulizi mtu kunishauri tunaachana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.